TOPBAND

TOPBAND

Tuesday, March 9, 2010

UMEONA EEH!

Hapa ilikua inapigwa ule wimbo wa SIAMINI ndo ukaingia mduara huh haikua kawaida huyu dada alivokua akizungusha hadi akazawadiwa complimentary ya kuingia bendi yake free mwezi mzima hapo hapo mpaka chini mpaka chini"

No comments:

Post a Comment