Saturday, February 27, 2010
IT WAS A GREAT SHOW@IRISHI!
Guys it was so kickin@IRISH PUB guess wat...like kila mtu liked it we are the TOPBAND incase u dont know nau u know haya laters we goin be@ PLATNUM CLUB karibu na maeneo ya mikocheni kama vipi ibuka uone tofauti kati ya NAZI na DODO!
Friday, February 26, 2010
MAUMIVU YA BARABARA YA LAMI!
MUNGU WANGU.....MY STUDIO!!!!!
Dahh it wasnt a gud a week for me and tha family...i experianced alot of pain my small time studio imevunjwa hii sababu ya upanuzi wa barabara hii ya mtaani kwetu ambayo habari zake zimekua gumzo eneo hili la hananasif kuwa wanajenga barabara ya lami..sawa sisi tumetii hilo but nomore recordings kwa muda huu...inshaalah mungu ataleta kheri zake!
MKALI KAZINI
WAZEE WA NGWASUMA NDANI YA TOPBAND!
ISMAEL SOTA JUU YA STAGE!
MDAU WA KWELI
WAREMBO NA TOPBAND
WAKALI WA DOWNTA!
WAKALI WA DOWNTA!
WADAU TOKA UNITED KINGDOM!
Thursday, February 25, 2010
TOPBAND KUNAKUCHA!
MWANANGU
ME AND MY SON,.. five years since i last saw him this day last year he broke tha silence akamulizaa bibi is this guy on tv is he realy my dad!cant believe he called me and say dady am k im,ur son my god i was freezin,duuh mungu mkubwa nilimfata kwa bibi ake then went to mlimani city tUkapiga hii picha.......I LOVE U KID
MASTAA WA TOPBAND!
AFRICA'S FINNEST !!!!
Wednesday, February 24, 2010
Ni mimi Tid (kushoto) nikiwa na MCD ambaye ni mpiga tumjba wa African Stars ama Twanga Papeta ilikuwa ni Jumatano wiki iliyopita kwenye ukumbi wa Club Bilicanas , tuliweza kuzungumza mambo mengi na jamaa yangu huyu hususani ni sababu ipi inayofanya Twanga Pepeta walivyo juu kwa wakati huu kwenye anga za muziki wa bendi hapa Bongo.
HAPA NI STERIO BAA JANA NIPO NA KINGKIF!
Hii ni saa moja jioni jana pale Sterio Baa maeneo ya Hananasif -Kinondoni .Hapa nipo na ' mchizi wangu kichizi ' ni mmiliki na muendeshaji wa blugu kali inayoitwa kingkif .blogspot .com .Sasa basi, Top Band huwa inatoa burudani mara mbili kila wiki ambapo swiku ya Alhamisi tupo Club Masai na Jumapili tunafanya Killer Shoo pale Platinum Pub maeneo ya Mikocheni kwa kiingilio cha shilingi buku dala na nyomi huwa linapatikana vilele!Karibuni.
Subscribe to:
Posts (Atom)