TOPBAND

TOPBAND

Wednesday, March 10, 2010

MAZOEZI KAMA MECHI!

Mazoezi ya leo hayakua madogo vijana walikamua sababu ya show nzito za week hii nahisi baadae itakua tamu sana pale masai club ujue kama kinondoni wamepata kiwanja chao cha kujidai na bendi nyao...karibu!

No comments:

Post a Comment