TOPBAND

TOPBAND

Wednesday, March 10, 2010

MAZOEZI MAKES PERFECT

Na baada ya kufanya show nzito huwa pia tunazukaga GYM na kama unavyoona ili niwe na stamina kabisa za kuwapa burudani ya kweli najifua kama hapo nikitengeneza mkono baaada ya kukimbia dakika 30 kwenye nashine...pia inasaidia kunipa pumzi zaidi napokua nadance huku nikipiga high PITCH...sasa ndo maana dada zako huwa hawakai chini!

No comments:

Post a Comment