TOPBAND

TOPBAND

Friday, February 26, 2010

WADAU TOKA UNITED KINGDOM!

Manager wa TOPBAND mr DACOTA akivinjari na wadau wa bendi yake ukumbi wa masai jana alkhamic wakati MZIGO wa kweli ukishuka,nahisi waliokuja jana hawajaliwa pesa YAO..kutoka kushoto mwa manager ni Alice na kulia kwake ni IRENE....haya kazi kwako kesho jmoc tuko IRISH PUB WAZUNGU TUPU HUH!

No comments:

Post a Comment