TOPBAND

TOPBAND

Wednesday, February 24, 2010





Ni mimi Tid (kushoto) nikiwa na MCD ambaye ni mpiga tumjba wa African Stars ama Twanga Papeta ilikuwa ni Jumatano wiki iliyopita kwenye ukumbi wa Club Bilicanas , tuliweza kuzungumza mambo mengi na jamaa yangu huyu hususani ni sababu ipi inayofanya Twanga Pepeta walivyo juu kwa wakati huu kwenye anga za muziki wa bendi hapa Bongo.

No comments:

Post a Comment