TOPBAND

TOPBAND

Wednesday, February 24, 2010

Huyu siyo mcheza shoo ama mwanamuziki wa bendi yangu! Ni mshabiki wa bendi yangu, alikuja kwenye shoo ya Club Masai wiki iliyopita na akaomba kukata mauno! Sikuwa na kinyongo , nikamuachia zaidi ya dakika sita akate mauno! Mauno yenyewe ni haya ! Top Band mpo jamani!

No comments:

Post a Comment