
Monday, September 27, 2010
VIDEO MPYA YA T.I.D KUZINDULIWA KWA KISHINDO!

Wednesday, September 15, 2010
TUMEIMISS MASAI CLUB NA TOPBAND WIKI HII
OUTING @LEVEL 8'KEMPISKY..MR N MRS TOP
Thursday, May 27, 2010
LEO MASAI CLUB PANACHIMBIKA!
JAFFARAI VIDEO SHOOT!
Saturday, May 8, 2010
HASHIM THABEET AMENIPiGA.
Ilikua majira ya saa kumi unusu nikiwa natoka club billcanas pamoja na rafiki yangu ANNA tukiongozana kuelekea mlango mkubwa wa kioo nikiwa naongea na simu na Hisbert kwa sauti ya juu maana kelele za muziki zilikua zinasumbua nikiwa nimesimama nje ya mlango wa kioo ghafla akatokea bwana HASHIM ambaye alikua counter akiongea na wakata ticket akaja nje na kunipiga bonge la mtama nikaaunga chini ya sakafu na kuzirai kwa dakika kadhaa,mabaunsa wakanibeba na kuniweka pembeni maana nilikua mlangoni,nilipozinduka nilisikia maumivu makali kwenye mabega,mkono wangu wa kulia na mguu ambao unafanya kutembea kwangu kwa taabu,nikaangalia mkononi simu yangu sikuiona tena,nikawauliza mabaunsa wake jamaa amekwenda wapi!wakadai ameondoka tayari...nikajikokota kuelekea kwenye gari yangu na kuelekea polisi kutoa taarifa niweze kupata matibabu,nilipofika nikaaandika statement nikapewa namba ya case CD/RB/6848/10 pia nikapatiwa PF3 nikaenda hospitali nikapata matibabu,sasa hivi niko kitandani siwezi kutembea vizuri,pia nitashindwa kuperfom kwenye harusi ambayo tayari nishalipwa pesa tayari.SWALI langu ni kwanini ameamua kunidhalilisha vile mbele ya CLUB na FANZ ambao nilikua nawatumbuiza?kwanini ameamua kuniharibia kazi yangu?kwanini ameamua kunipiga bila ya kumkosea?JE NI SAWA HIVI JAMANI....naona MACHOZI YANANITOKA SINA CHA KUMUELEZA MAMA YANGU.
Wednesday, April 28, 2010
HEBU TUPIGE PICHA!
TOP NA KIBA FACE TO FACE LONDON!
Monday, April 19, 2010
MGOSI NIKOMESHEEEEEEEEEE!
Sunday, April 18, 2010
LEICESTER how WE DID IT!
Friday, April 16, 2010
GOD BLESS MY SHOWZ THIS WEEKEND.


Sunday, April 11, 2010
GREAT SHOW IN DUBLIN!

Wednesday, April 7, 2010
KIWANJA KIPYA.
Saturday, April 3, 2010
HEBU JIONEE MWENYEWE!
WALIPENDEZAAAAAAAAAA!
LONDON NIMEWARUSHA!
INTERVIEW WITH BEN
Tuesday, March 30, 2010
SIWEZI KUSHIRIKI!
1.Kwanza nahisi mimi kama TID na mziki ninao perfom kwa kipindi chote hiki cha miaka saba toka nimepewa tunzo hizi sina umuhimu wa kuwa shiriki sababu hata nikitengeza wimbo ambao unakubalika sana na wapenzi wa muziki huu wa kizazi kipya sipewi tuzo kwa mantiki hiyo naona sioni sababu ya kuwa kwenye tuzo hizi.
2.Pia nilidhani labda ni upungufu wa mawazo ya majaji ama waandaaji ambao imewezekana nilitofautiana nao kipindi fulani nilipokuwa nafanya nao kazi za maonesho,inauma sana unapoona wengine ambao uko nao kwene same field wanapewa nafasi kubwa ambayo pia mimi nastahili kutokana na juhudi ambazo nafanya kwenye sanaa hii ya kizazi kipya hapa nahisi sihitajiki kwani kama wimbo wangu wa bendi ni bora wa mwaka kwanini nisiwe mwanamuziki bora wa kiume mwaka huo,pia hata video zangu huwa za viwango vya juu nazo hazipewi nafasi kwenye video bora za mwaka!
3.Kwa sababu hizi ambazo mimi naona kwangu hazinijengi sioni sababu ya kuwepo kwenye TUNZO hizi tena kwani sidhani kama ni wakati wa kuwaangusha mashabiki wangu ambao natumia muda mwingi na effort binafsi bila ya mdhamini kuwaunganisha na muziki wangu basi nisameheni kama nimewakosea lakini hainisaidii chochote endeleeni na hao mnaowapa kila category i will never stop making good music for my country surely i wont,i was born to do THIS,.. THANKS.
1.
Monday, March 29, 2010
QUICK SNAP!
KAZI GANI!!!??
HIZI BATA JAMANI!
ALIPOZI NA HAWA WAREMBO!
HEMEDY AKA PHD"MOVIE STAR!
Saturday, March 27, 2010
JAMANI TOPBAND TUNAWAZIMIA!
CHID MAPENZI!
NYOMI!
SHE CANT BELIEVE!
Tuesday, March 23, 2010
CLUB AFRIQUE!
Monday, March 22, 2010
ANAITWA OMMY DIMPOZ.
KIFAA KIPYA!
BEAUTIFUL LADIES!
Subscribe to:
Posts (Atom)