Huo msosi wa nyumbani kabisa hapa niko ughaibuni bt wat a joy maana nahisi bado niko nyumbani kabisa sioni sababu ya kuwa na homesick huyu aliyepiga picha naona mtata hadi anasubiri napiga tonge duuh it was a very taste meal at that point maana spending time in vocal booth sio mchezo huo ubao uliokuja hapo balaaaaaaaaaa.thanks god kwa chakula kitamu!
Friday, April 16, 2010
Huo msosi wa nyumbani kabisa hapa niko ughaibuni bt wat a joy maana nahisi bado niko nyumbani kabisa sioni sababu ya kuwa na homesick huyu aliyepiga picha naona mtata hadi anasubiri napiga tonge duuh it was a very taste meal at that point maana spending time in vocal booth sio mchezo huo ubao uliokuja hapo balaaaaaaaaaa.thanks god kwa chakula kitamu!
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment